Filipe Jacinto Nyusi (pia ametajwa kama Nyussi; amezaliwa 9 Februari 1959) ni mwanasiasa wa Msumbiji anayehudumu kama Rais wa nne wa Msumbiji, madarakani tangu mwaka 2015.

Picha yake.

Hapo awali alikuwa Waziri wa Ulinzi kutoka mwaka 2008 hadi 2014. Nyusi alikuwa mgombea wa Frelimo katika uchaguzi wa urais wa mwaka 2014.

Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Filipe Nyusi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.