Firmus wa Tagaste

(Elekezwa kutoka Firmus askofu mfiadini)

Firmus wa Tagaste ni kati ya maaskofu wa Afrika Kaskazini waliouawa kwa ajili ya imani yao.

Aliteswa sana ili aeleze muumini wa jimbo lake la Tagaste (leo Souk Ahrus, nchini Algeria) mmojawapo amefichama wapi, lakini alikataa.

Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 31 Julai[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.