Front Line Defenders

Watetezi wa Mstari wa mbele, au The International Foundation for the Protection of Human Rights Defenders, ni shirika la haki za binadamu lenye makao yake nchini Ireland lililoanzishwa Dublin, Ireland mwaka wa 2001 ili kuwalinda wale wanaofanya kazi bila vurugu kutetea haki za binadamu kama ilivyoainishwa katika Azimio la Kimataifa juu ya Haki za Binadamu.

Marejeo hariri

[1][2][3][4]

  1. https://www.nytimes.com/2021/11/08/world/middleeast/nso-israel-palestinians-spyware.html
  2. https://www.ft.com/content/fe1cf064-ccb0-4654-8395-8579aa18aa2a
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-10-19. Iliwekwa mnamo 2022-07-28. 
  4. https://web.archive.org/web/20160215095906/https://www.frontlinedefenders.org/front-line-award-human-rights-defenders-risk