Fronto na wenzake
Frontoni abati (alifariki karne ya 2 au ya 4) alikuwa Mkristo wa Misri ambaye alikwenda kuishi jangwani pamoja na wenzake 70[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |