Fuse ODG

Mwimbaji wa rap wa Uingereza

Nana Richard Abiona (alizaliwa 2 Desemba 1988), [1] anayejulikana zaidi kwa jina lake la kisanii Fuse ODG, ni mwimbaji na rapa wa Uingereza-Ghana. [2] Anafahamika zaidi kwa nyimbo zake za " Antenna " na " Dangerous Love ", na kwa kushirikishwa na Major Lazer " Light It Up (Remix) ".[3][4][5]

Picha ya Msanii Fuse ODG
Picha ya Msanii Fuse ODG

Marejeo hariri

  1. Scott Kerr. "Fuse ODG | Biography & History". AllMusic. Iliwekwa mnamo 7 July 2016.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Chipmunk, Fuse Odg To Thrill Fans On Dec. 27". Modernghana.com. 19 December 2011. Iliwekwa mnamo 7 July 2016.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  3. "Chipmunk, Fuse Odg To Thrill Fans On Dec. 27", Modern Ghana (kwa en-US), iliwekwa mnamo 2023-02-26 
  4. "New dance craze 'Antenna' by UK's biggest Afrobeats export: Fuse ODG - #AltSounds". web.archive.org. 2014-11-04. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2014-11-04. Iliwekwa mnamo 2023-02-26. 
  5. "How Did Fuse ODG Choose His Name?". Capital XTRA (kwa Kiingereza). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2023-02-26. Iliwekwa mnamo 2023-02-26. 
  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Fuse ODG kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.