Gaugeriki wa Cambrai
Gaugeriki wa Cambrai (pia: Gery, Gorik, Gau; Carignan, 550 hivi - 11 Agosti 619) alikuwa askofu wa mji huo, leo nchini Ufaransa, kwa miaka 35 hivi[1][2].
Alianzisha monasteri na kukomboa watumwa pamoja na kuinjilisha hata vijijini[3].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Butler, Alban. “Saint Gery, or Gaugericus, Bishop and Confessor”. Lives of the Fathers, Martyrs, and Principal Saints, 1866. CatholicSaints.Info. 11 August 2016
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/92840
- ↑ Monks of Ramsgate. “Gaugericus”. Book of Saints, 1921. CatholicSaints.Info. 11 August 2016
- ↑ Martyrologium Romanum
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |