Gordon French

Mhandisi wa Kompyuta

Gordon French (Machi 7, 1935 - 26 Oktoba, 2019[1]) alikuwa mhandisi wa kompyuta na mpanga programu kutoka nchini Marekani ambaye alichukua jukumu muhimu katika klabu ya kompyuta ya Homebrew.

Gordon French
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaMarekani Hariri
Jina halisiGordon Hariri
Jina la familiaFrench Hariri
Tarehe ya kifo26 Oktoba 2019 Hariri
Kazicomputer scientist Hariri

Mnamo 5 Machi, 1975, Gordon French aliandaa mkutano wa kwanza wa Klabu ya Kompyuta ya Homebrew kwenye karakana yake,[2] huko Menlo Park, San Mateo County, California. Alihudhuria vikao vitatu vya kwanza, lakini alipopewa nafasi katika Utawala wa Hifadhi ya Jamii, akahamia huko Baltimore.[3]

Marejeo hariri

  1. French, Allen. "Gordon French has Passed Away". LinkedIn. Iliwekwa mnamo 5 March 2022.  Check date values in: |accessdate= (help)
  2. "Homebrew@30". Digibarn Computer Museum. Iliwekwa mnamo April 10, 2013.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. Markoff, John (2005). What the Dormouse Said. New York: Viking. ku. 281. ISBN 0-670-03382-0.