Hifadhi ya Wanyamapori ya Katonga

Hifadhi ya Wanyamapori ya Katonga ni hifadhi ya wanyamapori iliyopo magharibi mwa Uganda, kando ya Mto Katonga . Hifadhi hiyo ilianzishwa mwaka 1998 na ina takribani kilomita za mraba 211. Aina nyingi za mimea na wanyama katika hifadhi ni ya kipekee kwa mazingira yake ya ardhioevu.

Mimea hariri

Mimea ya hifadhi ni savanna iliyochanganyikana na maeneo ya miti ya mshita au misitu. Sehemu kubwa ya hifadhi ni ardhi oevu ya kudumu au ya msimu. Pia kuna ya misitu ya mito ya kitropiki. [1]

Wanyamapori hariri

Kuna zaidi ya spishi arobaini za wanyama na zaidi ya aina 150 za ndege ndani ya hifadhi. Aina za wanyamapori ndani ya hifadhi ni pamoja na:

Marejeo hariri

  1. "The vegetation of Katonga Wildlife Reserve". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2008-06-16. Iliwekwa mnamo 2022-06-13.