21°27′27.20″N 39°51′33.90″E / 21.4575556°N 39.8594167°E / 21.4575556; 39.8594167

The entrance to the cave.

Hira (kwa Kiarabu: حراء Ḥirāʾ) au Pango la Hira (غار حراء Ġār Ḥirāʾ) ni pango lililopo karibu na mji wa Makka, kwenye Jabal an-Nūr, kanda ya Hejaz ya Saudi Arabia ya leo. Pango peke yake lina eneo la m 4 na urefu wa m 1.75 kwa mapana[1].

Linafahamika zaidi na Waislamu kwa kuwa sehemu ambao mtume Muhammad amepokea aya ya kwanza kutoka kwa Mwenyezi Mungu (Allah) kupitia malaika wake Jibril[1].

Marejeo hariri

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

  Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.