Hulda Shaidi Swai, alizaliwa mwaka 1954, ni mtafiti na Profesa wa sayansi ya maisha na bioengineering nchini Tanzania. Yeye ni mwanzilishi katika utafiti wa nanomedicine katika maendeleo ya dawa dhidi ya magonjwa ya kuambukiza barani Afrika. Kazi yake inazingatia hasa matumizi ya nanoteknolojia katika dawa za kupambana na malaria..[1]

Marejeo hariri

  1. Dr. Y (26 February 2021). "Professor Hulda Swai of Tanzania Wins Distinguished Science Award: ‘Women are as good as men’". AfroLegends.com. Iliwekwa mnamo 27 March 2023.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)
  Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hulda Swai kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.