Ibrahim Saidi Rashidi Msabaha
alipozaliwa
(Elekezwa kutoka Ibrahim Said Msabaha)
Ibrahim Saidi Rashidi Msabaha (19 Februari 1951 - 13 Februari 2024) alikuwa mbunge wa jimbo la Kibaha katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania[1] akitokea katika chama cha CCM.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
- ↑ Mengi kuhusu Ibrahim Saidi Rashidi Msabaha (27 Februari 2008). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-19. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |