Isaka Jogues, S.J. (Orleans, Ufaransa 10 Januari 1607Ossernenon, Marekani, 18 Oktoba 1648) alikuwa padri Mjesuiti ambaye mwaka 1636 alijiunga na wamisionari kwa Waindio wa Amerika Kaskazini[1] akauawa nao kwa ajili ya imani yake.

Mt. Isaka Jogues.
Wajesuiti wafiadini wa Amerika Kaskazini.

Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenye heri tarehe 21 Juni 1925, na kuwa mtakatifu tarehe 29 Juni 1930[2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[3]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Scott, Martin (1927). Isaac Jogues: Missioner and Martyr. New York: P. J. Kenedy & Sons. uk. 45. OCLC 2104827. 
  2. Lives of the Canadian Martyrs
  3. Martyrologium Romanum

Marejeo hariri

Vyanzo hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.