Jermano wa Paris (Autun, leo nchini Ufaransa, 496 hivi - Paris, 28 Mei 576) alikuwa mmonaki ambaye, baada ya kuwa abati wa monasteri karibu na Autun, alichaguliwa kuwa askofu wa Paris akafanya uchungaji bila kulegeza maisha magumu aliyozoea[1].

Mt. Jermano katika mchoro mdogo.

Venansi Fortunati alimsifu sana katika kitabu alichoandika juu yake[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Mei[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/54950
  2. E. W. Brooks, reviewing the volume of Monumenta Germaniae Historica, Passiones Vitaeque Sanctorum Aevi Merovingici, B. Krusch and W. Levison, eds. (1919) that contains Fortunatus' vita, in The English Historical Review, 35 No. 139 (July 1920:438–440).
  3. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.