Jessie J

Mwimbaji wa Uingereza

Jessica Ellen Cornish (maarufu kama Jessie J; alizaliwa 27 Machi 1988) ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo nchini Uingereza.

Jessie J
Jessie J, mnamo 2017
Jessie J, mnamo 2017
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Jessica Ellen Cornish
Amezaliwa 27 Machi 1988 (1988-03-27) (umri 36)
Aina ya muziki Pop
Kazi yake Mwimbaji
Ala Sauti
Miaka ya kazi 2005-hadi leo
Studio Gut Records
Tovuti jessiejofficial.com

Alizaliwa na kukulia London, alianza kazi yake ya uimbaji wa jukwaani, akiwa na umri wa miaka 11.

Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jessie J kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.