Johannes Vilhelm Jensen

Johannes Vilhelm Jensen (20 Januari 187325 Novemba 1950) alikuwa mwandishi kutoka nchi ya Denmark. Anajulikana hasa kwa riwaya yake "Safari Ndefu" (kwa Kidenmark Den lange rejse) iliyotolewa katika majuzuu sita miaka ya 1908-22. Mwaka wa 1944 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.

Johannes Vilhelm Jensen

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mwandishi fulani wa Ulaya bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Johannes Vilhelm Jensen kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.