Joshua Nassari
(Elekezwa kutoka Joshua Samwel Nassari)
Joshua Samwel Nassari ni Mwanasiasa wa chama cha CHADEMA nchini Tanzania na alikuwa mbunge katika jimbo la Arumeru Mashariki tangu 2012 mpaka 2019.[1]
Marejeo hariri
</reference>
- ↑ Member of Parliament CV. Bunge la Tanzania (2010). Jalada kutoka ya awali juu ya 2013-11-03. Iliwekwa mnamo 2017-05-06.