Judo
Judo (jap. 柔道 jūdō) aina ya michezo ya mapigano kutoka nchini Japan iko pia kati ya michezo ya Olimpiki.[1] Ilianzishwa mwaka 1882 na Jigorō Kanō.[2] Mieleka inashindaniwa kimataifa leo na judo ndiyo aina inayoshindaniwa zaidi kimataifa ya mieleka jaketi.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/0/06/Judo_Morote_Seoi_Nage_by_Bryan_small.gif/270px-Judo_Morote_Seoi_Nage_by_Bryan_small.gif)
Judo ni mchezo wa kifalsafa unaoathiriwa na mafundisho ya Ubuddha. kati ya misingi yake si kumshambulia mpinzani lakini kutumia nguvu ya mpinzani kw kumshinda.[3]
Historia
haririJudo ilianzishwa kwenye msingi wa mchzo wa mapigano ya kale zaidi inayoitwa Jujutsu.[4]
Jujutsu ilikuwa mchezo wa makabaila na askari wa Japani ya Kale iliyofundisha kumshinda mpinzani hadi kumwua. Kano aliondoa sehemu hatari akaunda Judo.
Kurasa husika
haririMarejeo
hariri- ↑ Nussbaum, Louis-Frédéric. (2005). "Judo" in Japan Encyclopedia, p. 435.
- ↑ Nussbaum, "Kanō Jigorō " at p. 477.
- ↑ Ohlenkamp, Neil. "Forms of Judo (Kata)," JudoInfo.com; retrieved 2012-2-27.
- ↑ Nussbaum, "Jū-jutsu" at p. 435.