Jumas Omar
mtoto mwigizaji
Jumas Omar alizaliwa tarehe 10 Oktoba mwaka 1943 - na kufariki Mei 1989 huko London) alikuwa mwigizaji mzaliwa wa Zanzibar[1] ambaye alionekana katika filamu kadhaa za Uingereza zilizowekwa barani Afrika kama mwigizaji mtoto .
Filamu
hariri- Magharibi ya Zanzibar (1954)
- Safari (1955)
- Odongo (1956)
- Fury at Smugglers' Bay (1961)
Marejeo
haririMakala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jumas Omar kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |