Kaisari Leo III
Kaisari Leo III (685 hivi - 18 Juni 741) alitawala Dola la Roma Mashariki kuanzia mwaka 717 hadi 741[1].
Katika historia ya Kanisa anakumbukwa kwa kudhulumu Wakristo wengi akidai wasitumie tena picha takatifu[2].
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Craig, Graham, Kagan, Ozment, and Turner (2011). The Heritage of World Civilizations. Prentice Hall. uk. 321. ISBN 978-0-205-80766-6.
- ↑ Gero, Stephen (1973). Byzantine Iconoclasm during the Reign of Leo III, with Particular Attention to the Oriental Sources. Louvain: Secrétariat du Corpus SCO. ISBN 90-429-0387-2.
Marejeo hariri
- Ostrogorsky, George (1956). History of the Byzantine State. Oxford: Basil Blackwell.
- Entry of "Leo III" in The Oxford Dictionary of Byzantium, ed. Alexander Kazhdan. New York: Oxford University Press, 1991.
Viungo vya nje hariri
Wikimedia Commons ina media kuhusu: