Kakamega ni mji ulio makao makuu ya kaunti ya Kakamega nchini Kenya.

Kakamega, Kenya


Mji wa Kakamega
Mji wa Kakamega is located in Kenya
Mji wa Kakamega
Mji wa Kakamega

Mahali pa mji wa Kakamega katika Kenya

Majiranukta: 0°17′0″N 34°45′0″E / 0.28333°N 34.75000°E / 0.28333; 34.75000
Nchi Kenya
Kaunti Kakamega
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 91,768

Wakazi walikuwa 91,768 wakati wa sensa ya mwaka 2009[1]. Wenyeji ni hasa Waluhya.

Kakamega iko takriban kilomita 100 kaskazini kwa Kisumu.

Tangu mwaka 2006 chuo cha ufundi Kakamega kilipandishwa cheo kuwa Chuo Kikuu cha Malinde Musiro (Masinde Muliro University of Science and Technology).


Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.