Kalimba ni ala ya muziki toka Afrika hasa Kusini kwa Sahara. Kalimba inaundwa na ubao na mabamba membamba ya chuma, kwa hivyo ni ala ya mabamba (kwa Kiingereza: lamelophone). Kalimba zinaitwa pia likembe, ilimba, mbira huru, mbira njari, mbira nyunga nyunga, nhare, matepe, njari, sansu, zanzu, karimbao, marimba, karimba, okeme, ubo, sanza au gyilgo katika sehemu mbalimbali za Afrika.

Kalimba toka Afrika Kusini

Marimbula toka Visiwa vya Karibi alifanya kutia na kalimba toka Afrika.

Wanamuziki mashuhuri ambao hupiga kalimba au mbira ni Thomas Mapfumo toka Zimbabwe na Kinobe toka Uganda.

Muziki toka Zimbabwe

Marejeo hariri

  • Warner Dietz, Betty; Olatunji, Michael Babatunde (1965). Musical Instruments of Africa; Their Nature, Use, and Place in the Life of a Deeply Musical People. New York City: John Day Company.
  • Howard, Joseph H. (1967). Drums in the Americas. New York City: Oak Publications.
  • Mutwa, Credo Vusa'mazulu (1969). My people: the incredible writings of Credo Vusa'mazulu Mutwa. Johannesburg: Blue Crane Books.
  • Tracey, Andrew (1970). "The Matepe Mbira Music of Rhodesia". Journal of the African Music Society. 4 (4): 37–61. (Note: this article is the original source of the Matepe song Siti, as played by Zimbabwean Marimba band Musango.)
  • Tracey, Hugh (1961). The evolution of African music and its function in the present day. Johannesburg: Institute for the Study of Man in Africa.
  • Tracey, Hugh (1969). "The Mbira class of African Instruments in Rhodesia (1932)". African Music Society Journal. 4 (3): 78–95.
  • Berliner, Paul (c. 1978). The Soul of Mbira: Music and Traditions of the Shona People of Zimbabwe. Berkeley: University of California Press.
  Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kalimba kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.