Kamel Mohamed Seghir Belarbi (amezaliwa Aprili 11, 1997) ni mchezaji wa soka wa Algeria anayechezea klabu ya ASO Chlef.[1]

Tarehe 10 Septemba 2017, Belarbi alianza katika mechi za ligi kuu ya timu ya kwanza ya USM El Harrach, akiichezea dakika 90 kamili dhidi ya JS Kabylie.[2]

Marejeo hariri

  1. "Kamel Belarbi usmiste pour 3 ans et demi". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2018-12-26. Iliwekwa mnamo 2023-06-10.  Unknown parameter |df= ignored (help)
  2. "Fiche du match JSK 0-0 USMH - 10/09/2016 - Ligue 1 - 3e j". DZfoot. Iliwekwa mnamo February 18, 2017.  Check date values in: |accessdate= (help)
  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kamel Belarbi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.