Kasula ni vazi la nje la Askofu na la kasisi katika adhimisho la Ekaristi.

Kardinali Camillo Ruini akivaa kasula

Inatokana na mavazi ya kiraia ya zamani (paenula ya Warumi).

Inaweza kuwa na sura na rangi mbalimbali, lakini inatakiwa kufunika sehemu kubwa ya mwili, jina linavyodokeza ('nyumba ndogo').