Kaunti ya Narok ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.

Picha ya ramani ikionesha eneo la Kaunti ya Narok, Kenya
Barabara ya Keekorok ya kuelekea Narok

Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,157,873 katika eneo la km2 17,950.3, msongamano ukiwa hivyo wa watu 65 kwa kilometa mraba[1].

Makao makuu yako Narok.

Mara Triangle (ambayo ni sehemu ya hifadhi ya Masai Mara) imo katika eneo la Trans-Mara.

Utawala hariri

Kaunti ya Narok imegawanywa katika maeneo bunge yafuatayo[2]:

Eneo bunge Kata
Emurua Dikirr Ilkerin, Ololmasani, Mogondo, Kapsasian
Kilgoris Kilgoris ya Kati, Keyian, Angata Barikoi, Shankoe, Kimintet, Lolgorian
Narok Magharibi Ilmotok, Mara, Siana, Naikarra
Narok Mashariki Mosiro, Ildamat, Keekonyokie, Suswa
Narok Kaskazini Olpusimoro, Olokurto, Narok Mjini, Nkareta'Olorropil, Melili
Narok Kusini Majimoto/Naroos, Ulolulung'a, Melelo, Loita, Sogoo, Sagamian

Idadi ya wakazi katika kaunti ndogo (2019) [3] hariri

  • Narok East 115,323
  • Narok North 251,862
  • Narok South 238,472
  • Narok West 195,287
  • Trans Mara East 111,183
  • Trans Mara West 245,714
    • Mau Forest 32

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30. 
  2. http://countytrak.infotrakresearch.com/Narok-county/
  3. "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2019-11-13. Iliwekwa mnamo 2021-05-30.