Kidhulishi (kwa Kiingereza: highlighter) ni kifaa cha uandishi kinachotumika ili kubainisha kwa rangi angavu sehemu moja ya matini.

Kidhulishi rangi ya manjano.

Katika utarakilishi, kidhulishi kinaweza kutumika kwenye kichakata matini.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.