Kikosi cha vijana Afrika

Kikosi cha Vijana wa Afrika hariri

Kikosi cha Vijana wa Afrika (kifupisho AYB) lilikuwa ni shirika la vijana nchini Ghana. Lilikuwa hai katika miaka ya 1980. [1] [2] AYB iliibuka kutokana na mgawanyiko wa kamandi ya Vijana wa Afrika. Uanachama wa AYB ulikuwa msingi kati ya wanafunzi wa shule ya sekondari katika mikoa ya Volta, Brong Ahafo na Greater Accra. [2] AYB ilikuwa moja ya makundi ya wastani zaidi yanayounga mkono PNDC. [3]

Kwabla Davour aliyekuwa katibu wa kitaifa wa shirika na Dr. M.M. Owusu-Ansah ni mlezi.[2]

Marejeo hariri

  1. https://en.m.wikipedia.org/wiki/African_Youth_Brigade?searchToken=dzhcqle7fuuwb6czacy5nr5kt#cite_note-1
  2. 2.0 2.1 2.2 https://en.m.wikipedia.org/wiki/African_Youth_Brigade?searchToken=dzhcqle7fuuwb6czacy5nr5kt#cite_note-ray-2
  3. https://en.m.wikipedia.org/wiki/African_Youth_Brigade?searchToken=dzhcqle7fuuwb6czacy5nr5kt#cite_note-3