Klaro wa Vienne
Klaro wa Vienne (kwa Kifaransa: Saint Clair de Vienne au Clair du Dauphiné; alifariki 660 hivi) alikuwa abati wa monasteri huko Vienne, katika Ufaransa wa leo, aliyewapa wamonaki wenzake kielelezo cha ukamilifu wa kitawa [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Pius X mwaka 1903.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |