Kola Adams
Kola Modupe Adams (alizaliwa 18 Novemba 1980 nchini Nigeria) ni mwanasoka mstaafu wa Nigeria.
Kazi hariri
Baada ya kuichezea klabu ya Clermont Foot huko Ufaransa , Adams alisajiliwa na klabu ya Shanghai SIPG katika ligi kuu ya Uchina, ambako alikaa kwa misimu michache.
Marejeo hariri
Viungo Vya Nje hariri
- Kola Adams katika National Football Teams
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kola Adams kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |