Wilaya ya Lamu

(Elekezwa kutoka Lamu (wilaya))


Wilaya ya Lamu ilikuwa wilaya mojawapo ya Mkoa wa Pwani wa Jamhuri ya Kenya hadi ilipopitishwa katiba mpya ya nchi (2010).

Wilaya ya Lamu
Mahali paWilaya ya Lamu
Mahali paWilaya ya Lamu
Mahali pa Wilaya ya Lamu katika Kenya
Nchi Bendera ya Kenya Kenya
Mji mkuu Lamu
Eneo
 - Jumla 6,497.7 km²
Idadi ya wakazi (2009 Sensa[1])
 - Wakazi kwa ujumla 101,539

Makao makuu yalikuwa Lamu mjini.

Kwa sasa imekuwa kaunti ya Lamu.

Eneo la wilaya ni kanda la ardhi ya Kenya bara kusini ya mpaka wa Somalia pamoja na funguvisiwa la Lamu.

Eneo la wilaya lilikuwa km² 6,167 na idadi ya wakazi 72,686 [2]. Wenyeji ni hasa Wabanjuni.

Kuna misitu ya mikoko ufukoni.

Wilaya ilikuwa inachagua wabunge wawili wa Lamu Mashariki na Lamu magharibi.

Tarafa za utawala
Tarafa Wakazi wote* Wakazi wa mjini* Makao makuu
Amu 17,310 12,839 Lamu
Faza 7,474 0 Faza
Hindi 7,072 1,335
Kiunga 3,310 0 Kiunga
Kizingitini 6,010 0 Kizingitini
Mpeketoni 25,530 773 Mpeketoni
Witu 5,980 1,322 Witu
Total 72,686 16,269 -
* 1999 census. Sources: [2], [3],

Marejeo hariri

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Mkoa wa Pwani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Lamu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.