Los Angeles Lakers

Timu ya mpira wa kikapu ya Marekani

Los Angeles Lakers ni timu ya kulipwa ya mpira wa kikapu kutoka mjini Los Angeles, California. Wanachezea katika Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani. Vinara wao waliopo kwa sasa ni pamoja na Lebron James, Anthony Davis, DeMarcus Cousins.

nembo ya timu
Lakers wakicheza na magic

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Los Angeles Lakers kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.