M.I Abaga

Mwanamuziki wa Nigeria, mtayarishaji wa rekodi

Jude Lemfani Abaga (maarufu kwa jina lake la kisanii M.I Abaga, alizaliwa 4 Oktoba 1981) ni rapa, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, na mtayarishaji wa rekodi wa Nigeria. [1]

Marejeo

hariri
  1. "20 Influential African Rappers". www.okayafrica.com (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2024-04-18.
  Makala hii kuhusu mwanamuziki fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu M.I Abaga kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.