Unururifu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
tahajia |
||
Mstari 1:
'''Unururifu''' ([[ing.]] ''radioactivity''; pia: '''mbunguo nururifu''' ing. ''radioactive decay'') ni tabia ya [[elementi]] kadhaa ambako [[kiini cha atomi]] si dhabiti bali inaweza kubadilika kuwa kiini cha atomi kingine na katika mchakato huu kinatoa [[mnururisho]]. Wakati wa badiliko atomi inatoa vyembe nyuklia. Mifano ya elementi ambazo si
Kuna pia hali za elementi kadhaa ambazo kwa kawaida ni thabiti lakini baada ya kupokea
Tabia hii ya unururifu ilitambuliwa mara ya kwanza na [[Antoine Henri Becquerel]] mwaka 1896, halafu ni [[Marie Curie]] na [[Pierre Curie]] waliotunga neno "radioactivity" (=unururifi) kwa tabia hii. Wote watatu walipokea [[Tuzo ya Nobel ya Fizikia]] kwa kazi hii mwaka 1903.
|