Kiini cha atomu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:atomi lithi.jpg|thumbnail|Muundo wa atomu kwa mfano wa lithi: Mzingo wa Elektroni na Kiini cha atomu katika kitovu chake. Kiini kinafanywa na nyutroni (bila chaji) na protoni (chaji chanya).]]
'''Kiini cha atomu''' (pia '''nyukliasi ya atomu'''; kwa [[Kiingereza]]:''atomic nucleus'') ni sehemu ya ndani ya [[atomu]] inayozungukwa na [[mzingo elektroni]].
Atomu ni chembe ndogondogo zinazounda na kutofautisha [[elementi]] mbalimbali kama vile [[oksijeni]], [[chuma]] au [[kaboni]]. Kila kitu, kama ni gimba [[mango]], [[gesi]] au [[kiowevu]], kinaundwa na chembechembe ndogo. Kama
Ndani ya kila atomu kuna tena chembechembe ndogo zaidi za aina tofauti, ambazo zinatajwa kama [[nyutroni]], [[protoni]] na [[elektroni]]. Muundo wa atomu ni kiini cha atomu,
[[Kiini]] kinaundwa na [[protoni]] na [[nyutroni]]<ref>isipokuwa
Kiini chenyewe kina [[masi]] karibu yote ya atomu ndani yake (mnamo 99.9%, [[elektroni]] kwenye mzingo huwa na masi ndogo mno).
|