Yasinta wa Fatima : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
 
No edit summary
Mstari 1:
[[File:ChildrensofFatima.jpg|thumb|right|250px|[[Picha]] halisi ya Lusia Santos (''kushoto'') na binamu zake Fransisco na Yasinta Marto, mwaka [[1917]].]]
[[File:278px-Po-map fatima.png|thumb|upright|right|Mahali pa Fatima nchini Ureno.]]
[[image:Virgen de Fátima.JPG|thumb|200px|Sanamu iliyotiwa taji ya Bikira Maria ya Fatima katika [[kikanisa]] kilichopo mahali pa [[njozi]].]]
'''Yasinta Marto wa Fatima''' ([[11 Machi]] [[1910]] - [[20 Februari]] [[1920]]), ni [[jina]] la mmojawapo kati ya [[watoto]] watatu waliotokewa na [[malaika]] wa [[amani]] ([[1916]]), halafu na [[Bikira Maria]] ([[1917]]) kwao [[Fatima]], [[Ureno]], pamoja na [[binamu]] yake [[Lusia Santos]] na [[kaka]] yake [[Fransisko Marto]].
 
[[Njozi]] hizo zilithibitishwa na [[Kanisa Katoliki]] kuwa za kuaminika<ref>[[PopePapa Pius XII|Pius XII]], [[PopePapa Paul VI|PaulPaulo VI]], [[PopePapa JohnYohane Paul II|John PaulPaulo II]] and, [[PopePapa Benedict XVI|BenedictBenedikto XVI]] allna voiced[[Papa their acceptanceFransisko]] ofwalikubali theasili supernaturalya originKimungu ofya thenjozi Fátimaza eventsFatima.</ref>, hata ikaanzishwa [[kumbukumbu]] ya [[Bikira Maria wa Fatima]] katika [[liturujia]] kila tarehe ya njozi ya kwanza, [[13 Mei]].
 
Yasinta, pamoja na kaka yake Fransisko, alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa [[mwenye heri]] tarehe [[13 Mei]] [[2000]], halafu na Papa Fransisko kuwa [[mtakatifu]] tarehe 13 Mei [[2017]], miaka 100 kamili tangu tukio la kwanza, akiwa mdogo kuliko wenye heriwatakatifu wote wasio [[wafiadini]].
 
==Tanbihi==
Mstari 12:
 
==Marejeo==
<!-- Please order books alphabetically by the author's last name -->
{{Refbegin}}
*{{cite book
Line 87 ⟶ 86:
[[Jamii:Waliozaliwa 1910]]
[[Jamii:Waliofariki 1920]]
[[Jamii:Mabikira]]
[[Category:Wenye heriWatakatifu wa Ureno]]