Mtango-tamu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Ukurasa mpya
 
dNo edit summary
Mstari 13:
| jenasi = ''[[Solanum]]''
| spishi= ''[[Solanum muricatum|S. muricatum]]''
| bingwa_wa_spishi = [[William Aiton|Ait.]]</small>
}}
'''Mtango-tamu''' (''Solanum muricatum'') ni [[mmea]] wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Solanaceae]]. Ijapokuwa mmea huu una mnasaba na [[mnyanya]], [[tunda|matunda]] yake, yaitwayo [[tango tamu|matango matamu]], yana ladha tofauti kabisa. Matunda haya yanafanana na [[gogwe|magogwe]] makubwa na ladha yao ni mchanganyiko wa [[tikiti-asali]] na [[tango]].