Mtango-tamu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
dNo edit summary |
||
Mstari 17:
'''Mtango-tamu''' (''Solanum muricatum'') ni [[mmea]] wa [[familia (biolojia)|familia]] [[Solanaceae]]. Ijapokuwa mmea huu una mnasaba na [[mnyanya]], [[tunda|matunda]] yake, yaitwayo [[tango tamu|matango matamu]], yana ladha tofauti kabisa. Matunda haya yanafanana na [[gogwe|magogwe]] makubwa na ladha yao ni mchanganyiko wa [[tikiti-asali]] na [[tango]].
Mitango-tamu hukuzwa kwa biashara nchini [[Chili]], [[Australia]] ya Magharibi na [[Nyuzilandi]] hasa, lakini pia katika [[Kolombia]], [[Peru]], [[Ekwador]], [[Hispania]], [[
==Picha==
|