'''Anna Semamba Makinda''' (amezaliwa tar. [[15 Julai]] [[1949]]) ni mbunge wa jimbo la [[Njombe Kusini]] katika bunge la kitaifa huko nchini [[Tanzania]].<ref>{{Cite web|url=http://www.afdevinfo.com/htmlreports/peo/peo_589.html|title= Mengi kuhusu Anna Semamba Makinda|date=2 Juni 2008|accessdate=11 Novemba 2011}}</ref> Anatokea katika chama cha [[CCM]].