Veronika Giuliani : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Legobot (majadiliano | michango)
d Bot: Migrating 14 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q239160 (translate me)
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Verónica Giuliani.jpg|thumb|200px|Veronika Giuliani alivyochorwa akiwa na alama zake maalumu.]]
'''Veronika Giuliani''' alizaliwa ([[Mercatello sul Metauro]], ([[Marche]], [[Italia]] tarehe, [[27 Desemba]] [[1660]] akafariki- [[Città di Castello]], ([[Umbria]], Italia) tarehe, [[9 Julai]] [[1727]]) alikuwa [[mmonaki]] wa [[urekebisho]] wa [[Wakapuchini]] wa [[Waklara|Utawa wa Mt. Klara]].
 
Anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtakatifu]] [[bikira]]. Ingawa aliheshimiwa hivyo mara baada ya kufa, [[kesi]] ya kumtangaza mtakatifurasmi ilicheleweshwa na uchunguzi wa maandishi yake marefu.
Alikuwa [[mmonaki]] wa urekebisho wa [[Wakapuchini]] wa [[Waklara|Utawa wa Mt. Klara]].
 
[[Papa Pius VII]] alimtangaza [[mwenye heri]] mnamo Juni [[1804]], halafu [[Papa Gregori XVI]] alimtangaza mtakatifu tarehe [[26 Mei]] [[1839]].
Anaheshimiwa na [[Kanisa Katoliki]] kama [[mtakatifu]] [[bikira]].
 
==Maisha==
'''OrsolaMaandishi Giuliani'''yake anasimuliamwenyewe yanasimulia alivyoanza kujaliwa [[karama]] za pekee akiwa na [[umri]] wa miaka 3 tu, alipokuwa anaitwa Orsola.
 
Alijiunga na [[Waklara]] Wakapuchini wa [[monasteri]] ya Città di Castello mwaka [[1667]] ambapo akawa [[abesi]] tangu mwaka [[1716]] hadi [[kifo]] chake.
 
Kwa namna ya pekee aliambatana na [[Yesu]] [[Msalaba wa Yesu|msulubiwa]] kadiri ya [[karama]] ya [[Fransisko wa Asizi]].
 
Kanisa Katoliki linakubali ukweli wa [[madonda matakatifu]] aliyokuwanayoaliyosema alikuwanayo tangu tarehe [[5 Aprili]] [[1697]] hadi kifo chake.
 
==Maandishi==
Line 18 ⟶ 20:
Kutokana na shajara hiyo, Veronika Giuliani anahesabiwa kati ya [[Ukristo|Wakristo]] [[wanasala]] waliojaliwa mang'amuzi ya juu zaidi.
 
==Tazama pia==
==Heshima baada ya kufa==
*[[Watakatifu wa Agano la Kale]]
Ingawa aliheshimiwa mara baada ya kufa, [[kesi]] ya kumtangaza mtakatifu ilicheleweshwa na uchunguzi wa maandishi yake marefu.
*[[Orodha ya Watakatifu Wakristo]]
 
*[[Orodha ya Watakatifu Wafransisko]]
[[Papa Pius VII]] alimtangaza [[mwenye heri]] mnamo Juni [[1804]], halafu [[Papa Gregori XVI]] alimtangaza mtakatifu tarehe [[26 Mei]] [[1839]].
 
Kanisa Katoliki linakubali ukweli wa [[madonda matakatifu]] aliyokuwanayo tangu tarehe [[5 Aprili]] [[1697]] hadi kifo chake.
 
==Viungo vya nje==
Mstari 30:
*[http://saints.sqpn.com/saintv08.htm Saint Veronica Giuliani] at Patron Saints Index
*[http://www.catholicapologetics.info/library/gallery/incorrupt.htm Incorrupt Bodies of the Saints] at Catholic Apologetics Information
 
{{mbegu-Mkristo}}
 
[[Category:Waliozaliwa 1660]]