Mapatano ya msingi ya UM kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d Kipala alihamisha ukurasa wa Kongamano ya Mfumo wa UM kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi hadi Kongamano la Mfumo wa UM kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi: Kiswahili, jamani! |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:UNFCCmap.svg|300px|thumb|nchi wanachama ya Mapatano ya UM kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi]]
'''Kongamano ya Mfumo wa UM kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi''' (''[[:en:United Nations Framework Convention on Climate Change]]'' '''UNFCCC''') ni [[mapatano ya kimataifa]] yaliyoanzishwa mwaka [[1993]]. Yanalenga kupunguza [[kupanda kwa halijoto duniani]]. Njia kuu ni kupunguza ongezeko la [[gesi]] ya [[dioksidi kabonia]]
Nchi 194 zilipatana kuchukua hatua za kupunguza hatari za [[mabadiliko ya tabianchi]]. Nchi wanachama hukutana kila [[mwaka]] kujadiliana na kupatana kuhusu hatua maalumu za kufikia shabaha hizo.
|