Watemi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
'''Watemi''' ni [[watu]] wa [[kabila]] kutoka eneo la [[Arusha]], nchini [[Tanzania]], karibu na mpaka wa [[Kenya]]. Mwaka [[2002]] idadi ya Watemi ilikadiriwa kuwa 30,000 [http://www.ethnologue.com/show_language.asp?code=soz]. Lugha yao ni [[Kitemi]].
 
Ni miongoni mwa makabila machache sana nchini Tanzania yenye [[idadi]] ndogo ya watu kwa sababu ya mauaji waliyowahi na wanayoendelea kufanyiwa na [[Ukoo|koo]] za kimasaai[[Wamasai|Kimasai]]. Hii ilipelekea kutawanyika na kutengeneza makabila mengine ya kibantuKibantu kama WAIKOMA[[Waikoma]].
 
Asili yao ni [[Afrika ya katiKati]], hasa [[Ethiopia]], kwenye blue[[Blue nileNile]] hadi sehemu za Kenya (Ngurumani) walipopambana na [[Waluya]] hadi sehemu za [[Engaruka]] na sasa [[bonde la Batemi]].
 
kabilaKabila hili wanaheshimu na kuthamini [[mila]] na [[desturi]] zao, kwa maana hiyo, mbali na uongozi wa [[serikali]], wanaongozwa kwa kiasi kikubwa na wakuu wa mila (WENAMIJIWenamiji).wenamiji wanalojukumuWenamiji wana jukumu la wanalindakulinda na kuelekeza mila na desturi; hii ni pamoja na kulinda [[vyanzo vya maji]]. Pia wanamamlakawana [[mamlaka]] ya kutoa [[hukumu]] ya [[haki]] kwa wakosaji.WATEMI wanatumia vyakula vya asili kwa sehemu kubwa.
 
Watemi wanatumia [[vyakula]] vya asili kwa sehemu kubwa.
 
WatemiKazi piazao za asili ni wafanyabiashara[[kilimo]] wajasiriamali[[Kilimo ambaocha wametekaumwagiliaji|cha eneoumwagiliaji]] lotena lacha wilaya[[mvua]] yana Ngorongorosasa kwani pia kufanya[[wafugaji]] biasharawazuri. Wanazalisha [[mazao]] ya [[Mboga za majani|mbogamboga]] zikiwemo [[nyanya]] bila kusahau [[ndizi]] ambazo zinapendwa na kutumiwa sana [[Wilaya|wilayani]].
 
Watemi pia ni [[wafanyabiashara]] [[wajasiriamali]] ambao wameteka eneo lote la [[wilaya ya Ngorongoro]] kwa kufanya [[biashara]].
 
Watemi wameiga uzalendo wa kichagaKichaga wa kujenga [[nyumba]] nzuri za kisasa katika [[Kijiji|vijiji]] vyao na wameanza kuondokana na nyumba zao za asili za [[tembe]] zinazoezekwa kwa [[nyasi]].
{{mbegu-utamaduni-TZ}}
{{fupi}}
{{DEFAULTSORT:Temi}}
 
[[Jamii:Makabila ya Tanzania]]
Ni miongoni mwa makabila machache sana nchini Tanzania yenye idadi ndogo ya watu kwa sababu ya mauaji waliyowahi na wanayoendelea kufanyiwa na koo za kimasaai. Hii ilipelekea kutawanyika na kutengeneza makabila mengine ya kibantu kama WAIKOMA
Asili yao ni Afrika ya kati hasa Ethiopia kwenye blue nile hadi sehemu za Kenya(Ngurumani)walipopambana na Waluya hadi sehemu za Engaruka na sasa bonde la Batemi.
kabila hili wanaheshimu na kuthamini mila na desturi zao, kwa maana hiyo mbali na uongozi wa serikali wanaongozwa kwa kiasi kikubwa na wakuu wa mila(WENAMIJI).wenamiji wanalojukumu la wanalinda na kuelekeza mila na desturi hii ni pamoja na kulinda vyanzo vya maji. Pia wanamamlaka ya kutoa hukumu ya haki kwa wakosaji.WATEMI wanatumia vyakula vya asili kwa sehemu kubwa.
 
Kazi zao za asili ni kilimo cha umwangiliaji na mvua na sasa pia ni wafungaji wazuri.
Watemi pia ni wafanyabiashara wajasiriamali ambao wameteka eneo lote la wilaya ya Ngorongoro kwa kufanya biashara. Wanazalisha mazao ya mbogamboga zikiwemo nyanya bila kusahau ndizi ambazo zinapendwa na kutumiwa sana wilayani.
 
Watemi wameiga uzalendo wa kichaga wa kujenga nyumba nzuri za kisasa katika vijiji vyao na wameanza kuondokana na nyumba zao za asili za tembe zinazoezekwa kwa nyasi.