Wanyama wa nyumbani : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
WANYAMA WA NYUMBANI |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Wanyama wa nyumbani''' ni wale [[wanyama]] ambao huishi katika [[mazingira]] ambayo [[mwanadamu]] anaishi. Wanyama hao wanapatana na wanadamu, nao ni kama vile [[kuku]], [[mbwa]], [[mbuzi]], [[kware]], [[ng'ombe]] na wengine wengi.
Wanyama hawa wana [[faida]] katika maisha ya wanadamu; kwa mfano ng'ombe hupatia watu [[maziwa]], [[nyama]], pia [[ngozi]] yake inaweza kutumika kutengeneea vitu mbalimbali.
Mbwa husaidia hasa katika suala la [[ulinzi]] katika mazingira yanayomzunguka mwanadamu.
Mbuzi huwapatia watu nyama, maziwa ila si mazuri kama yale ya ng'ombe na pia ngozi yake hutumika kutengenezea vitu kama vile [[ngoma]], hasa katika [[jamii]] za [[Afrika|Kiafrika]].
Kware ni [[Ndege (mnyama)|ndege]] mdogo; [[mayai]] yake ni madogo sana yana faida kubwa katika [[mwili]] wa mwanadamu kwa sababu yanasemekena kutibu baadhi ya [[magonjwa]] katika miili yetu.
Hivyo tunaweza kuona faida za wanyama hao: ni vizuri tukiwatunza vizuri kwani tunawategemea katika shughuli mbalimbali za kijamii na za kiuchumi.
{{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Uchumi]]
|