Posta : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika '300px|thumb|Stempu ya posta ya Kenya, Uganda na Tanganyika mnamo mwaka 1954 '''Posta''' ni mfumo wa kusafiri...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Kenya, Uganda and Tanganyika £1 1954.jpg|300px|thumb|Stempu ya posta ya [[Kenya]], [[Uganda]] na [[Tanganyika]] mnamo mwaka [[1954]].]]
'''Posta''' ni mfumo wa kusafirisha [[barua]] na vifurushi kwa wapokeaji. Kuna mapatano ya kimataifa ya [[Umoja wa Posta Duniani]] (''[[:en:Universal Postal Union|Universal Postal Union]]'') yanayounda kanuni za ukubwa na [[uzito]] wa barua na vifurushi vinavyopokelewa.
==Posta ya serikali na huduma za binafsi==
Katika nchi nyingi [[huduma]] ya posta ni [[taasisi]] ya [[serikali|kiserikali]]; katika miaka ya nyuma shirika za binafsi ziliruhusiwa kushiriki lakini mara nyingi kwa masharti yaliyowekwa na serikali.
Katika mfumo wa posta kila huduma ina [[bei]] yake inayotangazwa kutegemeana na ukubwa au uzito wa barua au kifurushi, pia kutegemeana na [[kasi]] ya kufikisha [[ujumbe]] au [[mzigo]].
Kama huduma ya posta inaendeshwa na serikali inakuja na [[ahadi]] ya kufikisha barua kila mahali katika nchi. Huduma za binafsi mara nyingi zinafikisha tu mahali ambako zina [[ofisi]] zao.
[[Picha:French-post.jpg|300px|thumb|Sanduku la kuwekea barua nchini [[Ufaransa]].]]
==Huduma hadi nyumbani au sanduku la Posta==
Katika nchi nyingi barua na vifurushi vinapelekwa hadi [[nyumba]] ya mpokeaji au [[anwani]] inayotajwa. Katika nchi nyingine barua zinapelekwa tu hadi ofisi ya posta na kuwekwa pale katika [[sanduku la posta]] yenye [[namba]] fulani.
Ofisi za posta huwa mara nyingi na sanduku la kutupia barua zilizotiwa [[stempu]] tayari ili watumiaji waweze kutuma barua kila wakati. Masanduku
==Historia==
Katika [[historia]] zilikuwa nchi chache tu zilizoweza kuunda huduma ya posta; pasipo
Katika [[karne ya 19]] [[mawasiliano]] kati ya nchi za [[Ulaya]]
==Marejeo==
|