Bahasha : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
 
Mstari 1:
[[Picha:Anwani yenye msimbo wa posta.jpg|350px|thumb|Bahasha; rangi zake zinaonyesha ya kwamba iliandaliwa kwa barua itakayopelekwa kwa ndege; alama nyekundu inaonyesha [[msimbo wa posta]] unaotumiwa kama sehemu ya anwani]]
'''Bahasha''' ni jina la [[mfuko]] unaopokea na kuifadhikuhifadhi [[barua]] ndani yake. Kwa kawaida hutengenezwa kwa [[karatasi]] iliyokunjwa na kushikwa kwa [[gundi]].
 
'''Bahasha''' ni jina la mfuko unaopokea na kuifadhi [[barua]] ndani yake. Kwa kawaida hutengenezwa kwa [[karatasi]] iliyokunjwa na kushikwa kwa [[gundi]].
 
==Maandishi ya bahasha==
Bahasha inaweza kutumiwa bila [[maandishi]] kama barua inafikishwa na [[mwandishi]] moja kwa mmoja na mwandishimoja kwa mpokeaji.
 
Lakini kwa kawaida kwa matumizi ya bahasha kwenye [[huduma]] za [[posta]] bahasha inatakiwa kuwa na
*[[jina]] na [[anwani]] ya mpokeaji; anwani iwe na [[namba]] ya [[sanduku la posta]], mahali na [[msimbo wa posta]], au katika nchi ambako barua zinafikishwa hadi nyumbani pia [[mtaa]] na namba ya [[nyumba]]
*jina na anwani ya mtu aliyetuma [[ujumbe]].
 
==Aina za bahasha==
Kuna aina nyingi za bahasha zinazouzwa. Ukubwa hufuata kwa kawaida [[fomati]] za karatasi; katika nchi nyingi ni fomati za [[ISO 216]] na barua nyingi kutumia karatasi za [[ISO 216|A4]] na bahasha zinazoendana na ukubwa huu mara nyingi fomati za [[ISO 216|C6]] kama karatasi inakunjwa hadi C4 kama haikunjwi.
 
Kwa kurahisisha kwa kazi kuna bahasha yenye [[dirisha]] ambakoambamo anwani inaonekana kama inaandikwa mahali sahihi kwenye barua; dirisha inaruhusu kuonekana kwa anwani pekee.
 
Kwa yaliyomo yenye [[thamani]] kuna pia bahasha ambazo zimeimarishwa.
 
==Bahasha na siri ya barua==
Bahasha inaweza kufungwa, na katika [[sheria]] za nchi nyingi bahasha iliyofungwa inatakiwa kufunguliwa tu na mpokeaji wa barua; wengine wanaobeba barua au kuipata kwa niaba ya wengine tu hawaruhusiwi kuifungua. Hata [[polisi]] au vyombo vingine vya serikali haviruhusiwi, isipokuwa kwa [[amri]] ya [[mahakama]] kufutanakufuatana na sheria za nchi.
 
 
 
==Historia ya bahasha==
[[file:Employement contract IMG 0074.jpg|thumb|300px|[[Kigae cha mwandiko wa kikabari]] pamoja na bahasha yake ya [[udongo]] uliokaushwa; takriban mwaka [[2037 KK]].]]
Kiasili neno "bahasha" lilimaanisha mfuniko, [[gunia]], sanduku au namna nyingine ya kufunika kitu ndani yake. <ref>Linganisha A. C. Madan Swahili-English Dictionary Oxford 1903, uk. 20: "Bahasha": case, satchel, bag, packet, paper box (or cover) , Bahasha ya nguo, a bundle of clothes. Sometimes used to describe an envelope.' (? Hind.)"</ref>
 
Bahasha za barua zimekuwa kawaida tangu [[karne ya 19]] pamoja na kuboreshwa kwa huduma za [[posta]] na upatikanaji wake kwa watu wengi. Mwaka [[1845]] [[mashine]] ya kwanza ya kutengezea bahasha ilirekodiwa nchini [[Uingereza]] chini ya sheria ya [[hataza]]<ref>ling. [[:en:patent]]</ref>.
 
Bahasha zilipatikana pia zamani lakini hazikuwa kawaida jinsi ilivyokuwa baadaye. Kuna mifano ya bahasha za [[udongo wa mfinayanzi]] kwa ajili ya barua ziulizoandikwazilizoandikwa kwenye [[vigae vya mwandiko wa kikabari]] zamani za [[Babeli]]. [[Wachina]], waliokuwa watu wa kwanza wa kugundua karatasi, walitengeneza pia mifuko au bahasha za karatasi. Lakini mara nyingi karatasi au [[ngozi]] ambakoambamo barua iliandikwa liliviringishwailiviringishwa tu na labda kufunikwa katika [[kitambaa]] kwa kuilinda.
 
==Tanbihi==
<references/>
 
{{mbegu-utamaduni}}
 
==Marejeo ya Nje==
 
 
[[jamii:Posta]]