Tanzania : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Tengua pitio 1004663 lililoandikwa na ANTHONY YOSE (Majadiliano)
Mstari 20:
| [[Mji Mkuu]] || [[Dodoma mjini|Dodoma]]
|----
| [[Makao ya Serikali]] || [[DarDodoma es salaammjini|Dodoma]]
|----
| [[Serikali]] || [[Jamhuri]]
Mstari 30:
| [[Eneo]] || [[km²]] 947.303
|----
| Wakazi || 5051,760820,000 [2] (29th28th) (2014)
|----
| Wakazi kwa km² || 47.5
|----
| Uhuru || Tanganyika kutoka [[Uingereza]] tar. [[9 Desemba]] [[1961]]; [[mapinduzi Zanzibar]] [[12 januariJanuari]] [[1964]]; [[muungano]] Tanganyika na Zanzibar 26Aprili[[26 Aprili]] 1964
|----
| [[Pesa]] || [[Shilingi ya Tanzania]]
Mstari 60:
Tanzania ni nchi kubwa zaidi kati ya wanachama wa [[Jumuiya ya Afrika ya Mashariki]].
 
[[Mji mkuu]] ni [[Dodoma mjini|Dodoma]] (wenye wakazi 410,956), lakini [[makao makuu]] ya [[serikalirais]] bado yapoyupo [[Dar es Salaam]], [[jiji]] kubwa zaidi, lenye watu zaidi ya milioni 4,364,541.
 
MajijiMiji menginemingine ni kama vile [[Mwanza (mji)|Mwanza]] (706,543), [[Arusha (mji)|Arusha]] (416,442), [[Mbeya (mji)|Mbeya]] (385,279), [[Morogoro (mji)|Morogoro]] (315,866), [[Tanga (mji)|Tanga]] (273,332), [[Kahama (mji)|Kahama]] (242,208), [[Tabora (mji)|Tabora]] (226,999) na [[Zanzibar (Jiji)|Zanzibar]] (223,033).
 
==Jiografia==
{{main|Jiografia ya Tanzania}}
Nchi iko katika eneo la [[Maziwa makubwa ya Afrika]], pia inahivyo [[mitoZiwa|maziwa]] mingiyanafunika km<sup>2</sup> 61,500, yaani 6% za eneo lote la nchi.
 
MitoPia ina [[mito]] mingi ambayo inaelekeza [[maji]] yake katika [[Bahari ya Hindi]] [[mashariki]] mwa nchi, lakini mingine inachangia [[Mto Zambezi]] kupitia [[Ziwa Nyasa]], michache [[Bahari ya Kati]] kupitia [[Ziwa Victoria]] na [[mto Naili]], mingine tena [[Bahari Atlantiki]] kupitia [[Ziwa Tanganyika]] na mingine inaishia katika [[mabonde]] kama ya [[Ziwa Rukwa]].
[[Ziwa|Maziwa]] yanafunika km<sup>2</sup> 61,500, yaani 6% za eneo lote la nchi.
 
Mito inaelekeza [[maji]] yake katika [[Bahari ya Hindi]] [[mashariki]] mwa nchi, lakini mingine inachangia [[Mto Zambezi]] kupitia [[Ziwa Nyasa]], michache [[Bahari ya Kati]] kupitia [[Ziwa Victoria]] na [[mto Naili]], mingine tena [[Bahari Atlantiki]] kupitia [[Ziwa Tanganyika]] na mingine inaishia katika [[mabonde]] kama ya [[Ziwa Rukwa]].
 
== Historia ==
{{main|Historia ya Tanzania}}''(Kuhusu historia ya maeneo ya Tanzania kabla ya 1964 angalia makala za [[Tanganyika (nchi)|Tanganyika]], [[Zanzibar]] na [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]])''
Jina "Tanzania" limeundwa kutokana na majina ya [[Tanganyika|TANganyika]] na [[Zanzibar|ZANzibar]] (pamoja na athira ya jina la kale la "[[AzaniaAzanIA]]").
 
Nchi hizo [[mbili]] zilikuwa zote chini ya [[utawala]] wa [[Uingereza]] hadi kupata uhuru lakini hazikuwa ma[[koloni]] ya kawaida.
Jina "Tanzania" limeundwa kutokana na majina ya [[Tanganyika|TANganyika]] na [[Zanzibar|ZANzibar]] (pamoja na athira ya jina la kale la "[[Azania]]").
 
Nchi hizo mbili zilikuwa zote chini ya utawala wa [[Uingereza]] hadi kupata uhuru lakini hazikuwa ma[[koloni]] ya kawaida.
 
Zanzibar ilikuwa na hali ya [[nchi lindwa]] kutokana na mikataba kati ya ma[[sultani]] wa Zanzibar na [[Ufalme wa Muungano]] ([[Uingereza]]).
 
Tanganyika iliwahi kuwa sehemu ya [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani]] hadi [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] halafu ikawa chini ya Uingereza kama [[eneo la kudhaminiwa]] kutokana na azimio la [[Shirikisho la Mataifa]] iliyowekalililoweka Tanganyika katika ngazi "B" ya maeneo ya kudhaminiwa.
 
Tanganyika na Zanzibar zilikuwa nchi mbili tofauti hadi [[1964]], zilipoungana na kuwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hapo kiongozi wa Tanganyika [[Mwalimu Julius Kambarage Nyerere]] alipata kuwa [[Rais]] wa kwanza na kiongozi wa [[mapinduzi]] ya Zanzibar [[Abedi Amani Karume]] akawa [[Makamu wa Kwanza wa Rais]].
Line 91 ⟶ 88:
Tarehe [[21 Desemba]] [[2005]] [[Jakaya Kikwete]] aliapishwa kuwa Rais wa nne wa taifa ([[2005]]-[[2015]]), naye aliendeleza sera za watangulizi wake akitokea chama hichohicho cha [[CCM]].
 
Tarehe [[5 Novemba]] 2015 aliapishwa rais wa awamu ya tano, [[John Magufuli]] (wa CCM vilevile).
 
== Muungano katiMiundo ya Tanganyika na Zanzibarmuungano ==
Tangu muungano wa Tanganyika na Zanzibar kufanyika mwaka 1964 Tanzania imekuwa na miundo ifuatayo:
* Nchi inatawaliwa na [[serikali ya muungano]] ikitekeleza [[sheria]] zinazotolewa na [[bunge la Tanzania]].
Line 224 ⟶ 221:
 
== Watu ==
Watu wa Tanzania hawaenei sawasawa. Katika maeneo makavu sana, kwa wastani kuna mtu mmoja tu kwenyekwa kilomita ya mraba (1/km²), lakini sehemu zenye [[rutuba]] za [[bara]], kuna watu 51 kwa kila kilomita ya mraba. Hatimaye huku [[Unguja]] kuna watu 134 kwa kilomita ya mraba na katika [[Mkoa wa Dar es Salaam]] ni 3,133 kwa kilomita ya mraba.
 
Asilimia 70 hivi huishi [[kijiji|vijijini]].
Line 231 ⟶ 228:
Jamii nyingi za watu zimeishi na kushirikiana katika eneo la Tanzania bara kwa [[milenia]] nyingi.
 
BaadhiKati ya jamii hizihizo, nyingi zilikuja kutoka maeneo mengine ya Afrika.
 
Nyingi katika jamii zilizohamia sehemu hii ziliingia katika makundi madogomadogo kwa [[amani]], ingawa ziko zilizoingia kwa njia ya [[uvamizi]] na [[vita]]. Baadhi ya jamii zilizovamiwa zilijihami na kuwazuia wahamiaji wasiendelee kuteka maeneo mengine.
 
Baadhi ya jamii zilizovamiwa zilipigana na kuwazuia wahamiaji wasiendelee kuteka maeneo mengine, kufikiaKufikia mwaka [[1884]], wakati Wajerumani walipoanza harakati za kufanya sehemu hii ya Afrika kuwa [[koloni]] lao, kulikuwa na [[Kabila|makabila]] zaidi ya 120 katika eneo la Tanzania bara.
 
Kuna [[Orodha ya makabila ya Tanzania|makabila 125 hivi]]. Ma[[kabila]]Makabila yenye watu zaidi ya [[milioni]] [[moja]] ni [[Wasukuma]], [[Wanyamwezi]], [[Wachaga]], [[Waha]], [[Wagogo]], [[Wahaya]], [[Wajaluo]] na [[Wamakonde]].
 
Jambo la pekee kuhusu jamii zilizoishi na zinazoendelea kuishi Tanzania ni kwamba wakazi asili wanawakilisha makundi yote makuu manne (4) ya [[lugha]] barani Afrika<ref>Ulrich Ammon; Norbert Dittmar; Klaus J. Mattheier (2006). Sociolinguistics: An International Handbook of the Science of Language and Society. Walter de Gruyter. pp. 1967–. ISBN 978-3-11-018418-1.</ref>.
 
1. Idadi kubwa sana ya Watanzania ni wa jamii ya [[Wabantu]] (k.m. Wazaramo, Wagogo, Wasukuma, Wahaya, Wachaga, Wapare na Wapogoro).
 
2. Nje ya hao, kuna [[Waniloti]], kwa mfano [[Wamasai]] na [[Wajaluo]] ambao wengi wao zaidi wanaishi [[Kenya]].
 
3. Kundi lingine ni makabila ya [[Wakushi]] wanaoishi kaskazini mwa Tanzania; hao ni makabila ya [[Wairaqw]], [[Wafiome]] na [[Wasi]].
 
4. Kuna vikundi viwili vya [[Wakhoisan]] wanaofanana na makabila ya [[Botswana]] na [[Namibia]]; majina yao ni [[Wasandawe]] na [[Waburunge]].
 
Hatimaye kuna [[Wahadzabe]] wachache ambao [[utafiti]] wa [[DNA]] umeonyesha hivi karibuni wana uhusiano wa asili na [[Watwa]] wa nchi za [[Afrika ya Kati]].
 
Pia kuna asilimia ndogo ya watu wenye asili ya nje ya bara la [[Afrika]], kwa mfano [[Wahindi]], [[Waarabu]], [[Waindochina]], [[Wafarsi]], [[Wachina]] na [[Waingereza]]. Hii ilisababishwa na karne za mchanganyiko wa mahitaji ya biashara yaliofanywayaliyofanywa na mabara ya [[Ulaya]] na [[Asia]] hapo [[Afrika]].
 
=== Lugha ===
Line 257 ⟶ 254:
Nchini Tanzania kuna [[lugha]] za [[kabila|kikabila]] zaidi ya mia moja na ishirini, kwa kuwa kila kabila lina lugha yake.
 
[[Kiswahili]] ndiyo [[lugha ya taifa]] na inazidi kuwa [[lugha mama]] kwa [[watoto]] wengi, hasa mijini<ref>Concise Encyclopedia of Languages of the World. Elsevier. 2010. pp. 1026–. ISBN 978-0-08-087775-4.</ref>. Walau asilimia 90 za wakazi wanakitumia walau kama [[lugha ya pili]]. Kiswahili ni mojawapo kati ya [[lugha za [[Kibantu]]: hii imesaidia sana kukubaliwa kwa Kiswahili nchini, kwa sababu idadi kubwa ya Watanzania ni wasemaji wa [[lugha za [[Kibantu]]. Kiswahili kinatumika kama lugha baina ya watu wa makabila mbalimbali na kwa mambo rasmi; kwa hiyo ni lugha rasmi ya [[dhati]].
 
Kiswahili kinatumika kama lugha baina ya watu wa makabila mbalimbali na kwa mambo rasmi; kwa hiyo ni lugha rasmi ya [[dhati]].
 
Baada ya [[uhuru]], [[Kiingereza]] (iliyokuwa lugha ya [[ukoloni|kikoloni]] kabla ya [[uhuru]]) iliendelea kutumika kwa mambo kadhaa rasmi na kwa [[elimu]] kuanzia [[sekondari]], na kwa hiyo ilichukuliwa kama lugha rasmi ya dhati pamoja na Kiswahili.
 
Baada ya [[uhuru]], [[Kiingereza]] (iliyokuwa lugha ya [[ukoloni|kikoloni]] kabla ya [[uhuru]]) iliendelea kutumika kwa mambo kadhaa rasmi na kwa [[elimu]] kuanzia [[sekondari]] ingawa sera mpya inataka Kiswahili kishike nafasi yake hadi [[chuo kikuu]]<ref>"Tanzania Ditches English In Education Overhaul Plan". AFK Insider. 17 February 2015. Retrieved 23 February 2015.</ref>; kwa hiyo ilichukuliwa kama lugha rasmi ya dhati pamoja na Kiswahili. Lakini utumizi rasmi wa Kiingereza umepungua katika milongo iliyopita, na sasa utumizi huu karibu umekwisha. Kwa hiyo siku hizi ni kawaida zaidi kuchukulia Kiswahili kama lugha rasmi ya dhati pekee.
 
[[Sera]] mpya ya elimu inakusudia kufanya Kiswahili kuwa [[lugha ya kufundishia]] katika ngazi zote kufikia mwaka [[2024]].
Line 316 ⟶ 309:
 
== Tazama pia ==
* [[Orodha ya Marais wa Tanganyika]]
* [[Orodha ya Mawaziri Wakuu wa Tanzania]]
* [[Orodha ya Mawaziri Wakuu wa Zanzibar]]