Ukame : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 4:
Ukame unatokea pia pale ambako watu na kilimo wanategemea maji kwa [[umwagiliaji]] na vyanzo vingine vya maji vinakauka.
 
Ukame unaweza kuhatarisha maisha[[uhai]] yawa [[mimea]], wanayama[[wanyama]] na [[watu]], ambao wote wanahitaji maji.
 
 
==Matokeo ya ukame==
* hakuna maji ya kutosha kwa wakazi wa eneo fulani.
* [[mavuno]] yanapungua, [[bei]] za [[mazao]] yanapanda
* [[lishe]] ya wanyama inapungua, bei za [[nyama]], [[ziwa|maziwa]] na [[bidhaa]] nyingine kutokazinazotokana kwana wanyama zinapanda
* usafirishaji wa bidhaa kwenye [[njia za maji]] unapata matatizo kama maji [[Mto|mtoni]] na miferejini yanapungua mno
* uzalishaji wa [[umememaji]] unapungua kama hakuna maji ya kutosha tena kuendesha [[rafadha]]
* vituo vya [[umeme]] na [[viwanda]] ambavyo vinategemea maji ya mito kwa kupoza [[mashine]] zao haziwzihaziwezi kueneelakuendelea kwa [[nguvu]]; kiasi cha maji kinachopatikana kinapungua, na maji hayahayo yanakuwa na halijoto ya juu zaidi, kwa hiyo uwezo wa kupoza [[injini]] inapungua
* hatari naya [[moto]] kwenye [[misitu]] na [[Pori ya manyasi|porini]]
* kukausha kwa mimea inaacha ardhi bila kinga, [[mmomonyoko]] unaongezeka
* [[dhoruba]] itabeba kiasi kikubwa cha [[mchanga]] na vumbi kwenye angahewa, hivyo kupeleka ardhi yenye rutba[[rutuba]] penginepo na kuongeza [[magonjwa]] ya [[mfumo wa upumuaji]] kutokana na vumbi hewani.
 
 
==Tanbihi==