Dameski : Tofauti kati ya masahihisho
no edit summary
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 31:
|colspan="2" align=center | [[Picha:Sy-map.png|300px|center]]
|}
'''Dameski''' (''pia: Damasko, Damaskus, Damascus; kutoka '' [[
Dameski ni kati ya miji ya kale kabisa [[duniani]] iliyoendelea kukaliwa mahali palepale: inaaminiwa imekaliwa tangu miaka 8,000 au zaidi.
== Jina ==
Nchini mji huitwa mara nyingi '''<big>الشام</big>''' ''("ash-shām")''. [[Jina]] hilo latumiwa na [[Waarabu]] wengine
Haijulikani kutoka [[lugha]] gani jina la “Dameski”
== Jiografia ==
Dameski iko takriban [[kilometa]] 80 mashariki
Upande wa [[magharibi]] ni [[milima]] ya
Kati ya mji, kuna [[mito]] midogo mingi, na mto mkuu ndio Barada. Zamani, palikuwa na [[bustani]] nyingi sehemu zote za nchi. Lakini kwa sababu ya [[uchafuzi wa mazingira]] na [[idadi]] ya [[watu]] ambayo imekuwa inapanda
Mji wa kisasa una eneo la km2 105
=== Hali ya
Kwa sababu ya milima ya Anti-Lebanon, kuna mvua chache mjini. Wakati wa
== Historia ==
[[Akiolojia]] imeonyesha makazi ya
=== Utawala wa Misri ===
Mji ulitajwa mara ya kwanza kimaandishi kwa jina la "Tamasqu" (tmsq) katika taarifa za [[Misri ya Kale]] wakati wa [[Farao]] [[Thutmosis III]] ([[1479 KK]] - [[1425 KK]]). Ilikuwa chini ya [[utawala]] wa [[Misri]] hadi mnamo mwaka [[1100 KK]].
=== Ufalme wa Aramu ===
Tangu [[1000 KK]] mji ukawa [[kitovu]] cha [[ufalme]] wa [[Aramu-Dameski]] unaotajwa
=== Utawala wa Babeli, Uajemi, Wagiriki na Roma ===
Assyria ilishindwa na [[Nebukadreza II]] wa [[Babeli]] na Dameski ikawa sehemu ya [[milki ya pili ya Babeli]] tangu [[572 KK]].
Mwaka [[538 KK]], [[Uajemi]]
Kufika kwa [[Aleksanda Mkuu]] tangu [[333 KK]] kulibadilisha [[siasa]] ya [[Mashariki ya Kati]] na Dameski ikawa sehemu ya
Wafuasi wa
Tangu 64 KK [[Dola la Roma]] likaingia Shamu. Dameski ikawa mji mkuu wa jimbo la Kiroma likakua na kustawi. Mpangilio wa Waroma yameonekana hadi leo katika mji wa Kale wa Dameski hata kama majengo ya nyakati zile yamefichwa mita 5 chini ya uwiano wa mji wa leo. Barabara ya [[decumanus]] ya Kiroma, ambayo imetajwa katika Biblia kama "barabara iliyonyoka" au "barabara iitwayo Nyofu" (Mdo 9,11), inaoonekana hadi leo. ▼
▲Tangu [[64 KK]] [[Dola la Roma]] likaingia Shamu. Dameski ikawa mji mkuu wa jimbo la Kiroma likakua na kustawi. Mpangilio wa [[Warumi|Waroma]] yameonekana hadi leo katika mji wa
[[Picha:StJohnInUmmayad.jpg|thumb|250px|Maziara ya kichwa cha Yohane Mbatizaji ndani ya [[msikiti]] wa Muawiya inatembelewa na [[Waislamu]] na [[Wakristo]] vilevile.]]
[[Kaisari]] [[Theodosio I]] alijenga [[kanisa]] kubwa la Mt. Yohane lililotunza kichwa cha [[Yohane Mbatizaji]].
▲[[Picha:StJohnInUmmayad.jpg|thumb|250px|Maziara ya kichwa cha Yohane Mbatizaji ndani ya [[msikiti]] wa Muawiya inatembelewa na [[Waislamu]] na [[Wakristo]] vilevile]].
=== Waarabu na Waosmani ===
Dameski ilivamiwa na [[jeshi]] la [[Waarabu]] [[Waislamu]] chini ya [[khalifa]] [[Umar I]] mwaka [[636]] [[B.K.]]. Kanisa la Mt. Yohane
Baada ya [[ushindi]] wa [[Muawiyya]] mwaka [[661]] juu ya [[Hussain ibn Ali]] alichukua [[cheo]] cha khalifa akikaa Dameski. Hivyo mji ukawa mji mkuu wa [[milki]] ya [[Wamuawiya]] iliyotawala Khalifa wa mwisho wa Wamuawiya [[Marwan II]] alihamisha makao yake kwenda [[Haran]] katika [[Mesopotamia]] ya [[kaskazini]]. Marwan alishindwa baadaye na [[Abu al-`Abbās `Abdu'llāh as-Saffāh]] aliyeanzisha utawala wa makhalifa [[Waabbasi]] na kupeleka mji mkuu [[Baghdad]]. Dameski
Iliendelea kuwa
[[Salah-ad-Din]] aliweka
Utawala wa Milki ya [[Waturuki]] [[Waosmani]] ulianza [[1516]] ukaendelea hadi [[1918]]. Dameski ilijikuta tena mbali na mji mkuu wa milki huko [[Istanbul]]. Ilikuwa na umuhimu fulani kwa sababu misafara ya [[hija]] kwenda [[Maka]] ilianzia Dameski.
Mwaka 1516, kiongozi Mmisrowa Dameski alikimbia mji. Baada ya siku chache,
Waosmani walitawala Dameski kwa muda
Wakati wa utawala wa Waosmani, [[Wayahudi]] na [[Wakristo]] wa Dameski
Mwanzo wa [[karne ya 20]],
Mwaka [[1918]], [[mapinduzi]] ya Waarabu yalianza nchini Syria na baada ya muda mfupi, Waosmani waliondoka Syria na [[Waingereza]] walichukua nchi. [[Faisal ibn Hussein]] alikuwa [[mfalme]] mpya wa Syria. Mwaka [[1920]], serikali iliandika [[katiba]] mpya ya [[Demokrasia|kidemokrasia]]. Lakini, mwaka huohuo [[Mkutano wa Versailles]] aliutolea Ufaransa nchi ya Syria kama [[koloni]] lake. Hivyo Ufaransa uliingia Syria mwaka 1920.
Mwaka 1925, mapinduzi mapya ambayo ulianzishwa na Hauran (eneo la mashamba kusini ya nchi) yalifika Dameski. Wasyria walitaka uhuru wao. Lakini, Ufaransa ulitupa mabombu Dameski na waliacha mapinduzi. Wakati wa Vita Kuu ya Dunya II, Syria jeshi la Ufaransa Uhuru na jeshi la Uingereza, walichukua Dameski. Baada ya Vita, Ufaransa ulitoa Syria uhuru na Dameski ilikuwa mji mkuu wa nchi mpya.▼
▲Mwaka [[1925]], mapinduzi mapya ambayo
Wakati wa [[Vita vikuu vya pili vya dunia]] jeshi la [[Ufaransa huru]] na jeshi la Uingereza, walichukua Dameski. Baada ya [[vita]] hivyo, Ufaransa ulitoa uhuru kwa Syria na Dameski ikawa mji mkuu wa nchi mpya.
=== Mji Mkuu wa Syria huru ===
Uhuru wa Syria mwaka [[1946]] ulifanya Dameski mji mkuu wa nchi huru. Tangu hapo Dameski ikakua sana ikawa mji wa [[viwanda]] na [[biashara]].
== Uchumi ==
Zamani, Dameski ulikuwa mji muhimu wa biashara. Mpaka sasa, biashara ni muhimu mjini. Kuna masoko na [[kampuni]] nyingi. Kwa sababu ya [[vita vya wenyewe kwa wenyewe vya Syria]], Dameski ni mji mkuu wa [[uchumi]] wa Syria.
Kuna viwanda vya serikali mjini. Lakini viwanda vya binafsi ni vichache
==
Mwaka wa [[2011]], idadi ya watu ilikuwa 1,711,000. Lakini, kuna miji midogo karibu sana na Dameski kama [[Duma]], [[Harasta]], [[Daraya]], [[Jaramana]], na [[Tal]]. Kwa jumla kuna watu zaidi
Dameski kuna mchanganyiko wa watu. Karibu watu wote ni
==Mji wa Kale na Utamaduni==
Mji wa Dameski wa Kale ni mji wa
=== Milango saba ya mji: ===
Line 130 ⟶ 132:
Bab al-Jabiyeh
=== Makanisa maalum
Kanisa la Mtakatifu
Nyumba ya Mtakatifu
Kanisa la Kimarimia
Line 139 ⟶ 141:
Kanisa Katoliki la Kirumi
Kanisa la Mtakatifu
Kanisa
=== Misikiti
Msitiki wa Waomaya (Mahali
Msitiki wa Sayyida Ruqaya
Line 159 ⟶ 161:
Khan Suleyman Pasha
===
Kasri la Azem
Line 169 ⟶ 171:
==Elimu==
Dameski ni pahali pa elimu Syria. [[Chuo Kikuu cha Dameski]] ni [[chuo kikuu]] kikubwa na
==Usafirishaji==
[[Uwanja wa ndege]] mkuu ni Uwanja wa Ndege wa Dameski ambao uko karibu na mji. Lakini sasa, kwa sababu ya vita
Hakuna huduma kubwa za usafirishaji
Kuna pia shirika la “Chemin de Fer Syriens” ambalo ni shirika la [[treni]]. Lakini baada ya vita vya uraia, hakuna treni
▲Hakuna huduma za usafirishaji kubwa. Kuna njia za basi ndogo. Wakazi wa mji wanategemea “microbus.” Microbus ni kama matatu ya Kenya au dala dala za Tanzania. Dameski, kuna njia zaidi ya mia moja ya microbus mjini. Microbus zinaenda kila mahali kwa mji.
{{Mbegu-jio-Asia}}
▲Kuna pia shirika la “Chemin de Fer Syriens” ambalo ni shirika la treni. Lakini baada ya vita vya uraia, hakuna treni zo zote nchini.{{Mbegu-jio-Asia}}
[[Jamii:Miji ya Syria]]
|