Peter I wa Urusi : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Peter der-Grosse 1838.jpg|thumb|right|200px|Tsar Peter I wa Urusi]]
'''Peter I wa Urusi''' (au '''Petro Mkuu''') alikuwa Tsar yaani [[Kaisari]] wa [[Urusi]]. [[Jina]] lake la [[Kirusi]] lilikuwa '''
Aliporudi kutoka safari hii alikuwa na wazo la kwamba nchi yake Urusi ilikuwa nyuma sana kulingana na nchi za Ulaya, hivyo alianza mipango mingi ya kuleta [[maendeleo]] Urusi. Aliamuru waungwana wote kwenye [[ikulu|jumba la kifalme]] kukata [[ndevu]] zao na kuvaa [[nguo]] za Kizungu. Alialika mafundi na [[wataalamu]] wengi kutoka Ulaya.
Mstari 12:
Alibadilisha pia mfumo wa utawala wa [[Kanisa la Kiorthodoksi la Urusi]]. Aliondoa [[cheo]] cha [[Patriarka]] (Askofu Mkuu Kabisa) na badala yake aliunda [[ofisi]] ya [[Sinodi Kuu]] iliyokuwa [[mkono]] wa [[serikali]] yake.
{{Mbegu-
[[Jamii:Waliozaliwa 1672]]
[[Jamii:Waliofariki 1725]]
[[Jamii:
|