Maradhi ya zinaa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Mstari 62:
=== Kisonono ===
Ingawa kwa makisio maambukizi 360,000 ya kisonono huripotiwa kila mwaka nchini [[Marekani]], wataalamu wamekisia kuwa watu karibia 650,000 huambukizwa kwa mwaka. Kimataifa yanakadiriwa kuwa kati ya milioni 33 na 106 kwa mwaka. Wagonjwa ni 0.8% ya [[wanawake]] wote na 0.6% ya [[wanaume]] wote.▼
▲'''Kisonono''' ni [[maradhi ya zinaa]] ambayo husababishwa na [[bakteria]] zinazofahamika kisayansi kama ''Neisseria gonorrhoeae''. Bakteria hizo hushambulia utandotelezi unaozunguka [[sehemu za siri]].
▲Ingawa kwa makisio maambukizi 360,000 ya kisonono huripotiwa kila mwaka nchini [[Marekani]], wataalamu wamekisia kuwa watu karibia 650,000 huambukizwa kwa mwaka.
Kama ilivyo [[klamidia]], kisonono nayo huwa haionyeshi [[dalili]]. Kisonono ikiwepo huwa na dalili kama zile za [[klamidia]] ambazo huhusisha mauvimu wakati wa kukojoa na kutokwa kwa [[maji]] yanayonuka au [[usaha]] katika [[uke]] au [[uume]].
Kisonono huonekana kwa urahisi kwa wanaume ambao hutoa [[usaha]] kutoka katika [[mfereji wa mkojo]] (''urethra''). Huanza kidogo, lakini huongezeka na huwa mwingi na kusababisha kusikia haja ya kukojoa mara kwa mara huku kukiwa na maumivu.
Kisonono ikisambaa na kufikia
Kisonono isiyotibiwa inaweza kusababisha PID (''Pelvic Infiammatory disease'') kwa wanawake. [[Watoto]] wanaozaliwa na mama wenye kisonono huwa na hatari ya kuambukizwa wakati wa kuzaliwa; maambukizo haya yanaweza kusababisha magonjwa ya [[meno]] kwa wachanga.
Uchunguzi wa ugonjwa hufanywa kwa kuchungunza usaha kutoka katika uke au uume au mkojo kwa uwepo wa ''Neisseria gonorrhoeae''.
Kisonono iliongezeka kwa kiasi kikubwa [[Marekani]] mnamo [[miaka ya
Kisonono hutibiwa kwa [[antibiotiki]] kadhaa, ingawa maambukizi yamekuwa na ukinzani juu ya [[tiba]] ya baadhi ya madawa katika miongo ya nyuma. Moja kati ya mambo magumu katika kupambana na
=== Kaswende ===
|