Protista : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 1:
[[Picha:Protist collage.jpg|thumbnail|300px|Protista]]
'''Protista''' ni kundi la [[viumbehai]] vidogowadogo sana, yaani [[vidubini]] ambavyoambao huwa na [[seli]] moja au seli chache tu. Mara nyingi havionekanihawaonekani kwa jicho[[macho]] tuputu baliila kwa [[hadubini]] tu, isipokuwa zikitokeawakitokea kwa uwingi mkubwa. Jina la Protista lilibuniwa na [[Ernst Haeckel]] mnanmo 1866.
 
[[Jina]] la Protista lilibuniwa na [[Ernst Haeckel]] mnamo [[1866]].
Mifano ya protista ni [[algae]] (viani), [[amiba]] na aina za [[kuvu]]. Vilivyo vingi huishi baharini au ndani ya viumbe vingine; kwa hiyo vingine vinaonekana kama chanzo cha magonjwa. Protisti nyingi ni sehemu a [[planktoni]] na hivyo muhimu sana kwa [[ekolojia]] ya uhai duniani.
 
Mifano ya protista ni: [[algae]] (viani), [[amiba]] na aina za [[kuvu]]. VilivyoWalio vingiwengi huishi [[Bahari|baharini]] au ndani ya viumbe vinginewengine; kwa hiyo vinginepengine vinaonekana kamani [[chanzo]] cha [[magonjwa]]. Protisti nyingiwengi ni sehemu aya [[planktoni]] na hivyo ni muhimu sana kwa [[ekolojia]] ya [[uhai]] [[duniani]].
Zamani vilihesabiwa kama himaya ya pekee ndani ya [[eukaryota]] lakini siku hizi hujumlishwa pamoja na himaya mbalimbali. Jina hili linakusanya vidubini vyenye tabia tofautitofauti, pamoja na vyenye uwezo wa kujenga lishe yao kwa njia ya [[usanisinuru]] na nyingine zinazotegemea mata ogania kama lishe.
 
 
Protisti chache zinasababisha magonjwa kwa mfano protisti anayejulikana kwa jina la ''[[Plasmodium]] falciparum'' inasababisha [[malaria]];[[ugonjwa wa malale]] unatokana na protisti ya ''[[trypanosoma]] brucei''.
 
Zamani vilihesabiwawalihesabiwa kama himaya ya pekee ndani ya [[eukaryota]] lakini siku hizi hujumlishwa pamoja na himaya mbalimbali. Jina hilihilo linakusanya vidubini vyenyewenye [[tabia]] tofautitofauti, pamoja na vyenyewenye uwezo wa kujenga [[lishe]] yao kwa njia ya [[usanisinuru]] na nyinginewengine zinazotegemea [[mata]] ogania kama lishe.
 
Protisti chachewachache zinasababishawanasababisha magonjwa, kwa mfano protisti anayejulikana kwa jina la ''[[Plasmodium]] falciparum'' inasababisha [[malaria]]; [[ugonjwa wa malale]] unatokana na protisti ya ''[[trypanosoma]] brucei''.
 
== Marejeo ==
{{Reflist}}
 
{{mbegu-biolojia}}
 
[[Category:Protista| ]]
[[Category:biolojiaBiolojia]]