Zoolojia : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Animal diversity.png|thumbnail|Aina
'''Zoolojia''' (
Zoolojia linatumia [[mbinu]] mbalimbali za [[sayansi|kisayansi]] likichungulia [[maumbile]] na [[mwili|miili]] ya wanyama, michakato ndani ya miili, [[historia]] ya [[mageuko ya spishi]] za wanyama, [[jenetiki]] yao,
Zoolojia imeunda mfumo wa kupanga wanyama wote kwa vikundi ([[uainishaji wa kisayansi]]) na kuendeleza utaratibu huu.
Wanazoolojia kwa kawaida hufuata masomo ya biolojia na kwenye ngazi za juu zinaweka mkazo upande wa elimu ya wanyama. Wanafanya kazi kwenye vyuo vikuu, katika maabara ya makampuni ya madawa, katika bustani za [[zoo]] au katika makumbusho.▼
▲Wanazoolojia kwa kawaida hufuata masomo ya biolojia na kwenye ngazi za juu zinaweka mkazo upande wa [[elimu]] ya wanyama. Wanafanya kazi kwenye [[vyuo vikuu]], katika [[maabara]] ya [[kampuni|makampuni]] ya [[madawa]], katika [[bustani]] za [[zoo]] au katika [[makumbusho]].
== Viungo vya Nje ==▼
*{{commonscat-inline}}
{{mbegu-biolojia}}
▲[[Category:Biolojia| ]]
|